Nyumbani

ELIMU YA MAZINGIRA IKITOLEWA KATIKA MAONESHO YA KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI JUNI 5 2026

 Elimu ya Mazingira ikiendelea kutolewa katika Banda la NEMC katika maonesho kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma 

Maonesho hayo yalifunguliwa rasmi tarehe 1 Juni 2026 na Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni