Nyumbani

"MAZINGIRA CHALLENGE: UKO WAPI TANZANIA?" HIZI HAPA PICHA ZA WADAU

 

Msitu wa Kagunga  uliopo kijiji cha Kagunga  kata ya Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoa wa Tatavi zimepigwa na Mawiti

Ufukwe wa bahari ya jange kata ya Kitumbikwela Halmashauri ya Manispaa ya LINDI, ni maarufu kwa kiliomo cha zao la mwani zimepigwa na Wawawa

Bonde la mpunga  katika kijiji cha Ifinsi Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi,maji hutiririka  msimu wote wa mwaka imepigwa na Paulogchomba

Hapa ni Tarime vijijini-Mkoa wa Mara picha na aboy

Ufukwe wa bahari ya Lindi mjini Picha na Wawawa

Bonde Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya na Mbarali picha na Ndemba - MOI




Mazingira kutoka Hifadhi ya mto Ugalla unapotikana wilayani Kaliua Mkoa wa Tabora




Maoni 2 :

  1. Mazingira yetu ni uhai wetu #nemctanzania #mazingirachallengetz

    JibuFuta
  2. Tanzania yetu mazingira yetu #sisinitanzania #nemctanzania #mazingirachallengetz

    JibuFuta

Sethi Ura Company Limited Yasimamia Mapinduzi ya Usafi: Ushirikiano wa Jamii Katika Kuweka Mazingira Safi Hospitali ya Wilaya ya Hai

Vijana wa kujitolea wakipanga majukumu kabla ya kuanza kazi ya usafi katika eneo la hospitali. Katika kuendeleza dhana ya afya bora inayoteg...