Nyumbani

WATAALAM ELEKEZI WA MAZINGIRA KANDA YA MAGHARIBI (NEMC) WAPATIWA MAFUNZO YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA

 

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia kurugenzi ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira na Jamii imetoa mafunzo ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira kwa wataalamu elekezi wa mazingira na watumishi wa Baraza waliopo Kanda ya Magharibi inayohusisha mikoa mitatu (Kigoma, Katavi na Tabora) kuanzia tarehe 1-3 Oktoba, 2025.

Mafunzo haya ni endelevu na lengo kuu ni kuboresha ufanyaji wa Tathmini ya Athari kwa Mazingira na Jamii (TAM) na upitiaji wa taarifa za TAM zinazowasilishwa Baraza.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TIMU YA UKAGUZI WA MAZINGIRA KUTOKA NEMC MAKAO MAKUU NA KANDA YA ZIWA VICTORIA MASHARIKI WAADHIMISHA MEIMOSI 2026 KWA KUPANDA MITI MAKUMBUSHO YA MWL. JULIUS K. NYERERE, BUTIAMA

Timu ya watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wanaofanya ukaguzi wa mazingira katika mikoa ya Kanda ya Zi...