Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikao kazi cha kupitia Mpango wa Kitaifa wa kupambana na ukame kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao hicho, muwakilishi kutoka NEMC ambaye pia ni Afisa Mazingira Mkuu Bi.Marlene Moshi amesema ushiriki wa NEMC ni muhimu katika kuhakikisha kuwa mikakati ya kitaifa inakwenda sambamba na malengo ya kimataifa ya kupunguza athari za ukame na kulinda mazingira.Kikao hicho kimeratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais (VPO) kupitia Idara ya Mazingira, kikilenga kuhakikisha utekelezaji wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Jangwa na Ukame Duniani.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
DKT. FESTO DUGANGE AITIKISA KAGERA, AITAKA NEMC KUKAZA UZI USIMAMIZI WA SHERIA ZA MAZINGIRA KWENYE MIRADI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.Dkt. Festo Dugange, amelitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa M...
-
Ni katika kufanya tathmini na kuimarisha umoja. Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Makao Makuu na k...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linashiriki Mkutano wa Saba (07) wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (07th Unit...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kusini tarehe 15 Novemba 2025 lilishiriki kusimamia na kushuhudia Uteke...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni