Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikao kazi cha kupitia Mpango wa Kitaifa wa kupambana na ukame kilichofanyika katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao hicho, muwakilishi kutoka NEMC ambaye pia ni Afisa Mazingira Mkuu Bi.Marlene Moshi amesema ushiriki wa NEMC ni muhimu katika kuhakikisha kuwa mikakati ya kitaifa inakwenda sambamba na malengo ya kimataifa ya kupunguza athari za ukame na kulinda mazingira.Kikao hicho kimeratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais (VPO) kupitia Idara ya Mazingira, kikilenga kuhakikisha utekelezaji wa Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Kupambana na Kuenea kwa Jangwa na Ukame Duniani.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA SABA WA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU MAZINGIRA
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linashiriki Mkutano wa Saba (07) wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (07th Unit...
-
🟢 MAZINGIRA CHALLENGE 📍 Uko wapi Tanzania? 📸 Tuma Picha Bora ya Mazingira Ulipo! 🌍 Lengo la Kampeni: Kuibua uzalendo na uhamasishaji wa ...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeendesha mafunzo maalum ya kuwajengea uelewa kuhusu Tathmini ya Athari kwa ...
-
Msitu wa Kagunga uliopo kijiji cha Kagunga kata ya Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoa wa Tatavi zimepigwa na Mawiti Ufukwe wa bahari ya ...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni