Nyumbani

NEMC YASHIRIKI UTEKETEZAJI WA VIELELEZO VYA DAWA ZA KULEVYA MKOANI MTWARA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kusini tarehe 15 Novemba 2025 lilishiriki kusimamia na kushuhudia Uteketezaji wa vielelezo mbalimbali vya Mahakama Kanda ya Kusini ambavyo ni madawa ya kulevya vyenye Kilogramu 73. Vielelezo hivyo viliteketezwa katika kiwanda cha Saruji cha Dangote Mkoani Mtwara

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YAWALETA PAMOJA WATUMISHI WAKE KUJIPANGA KWA MWAKA 2026

  Ni katika kufanya tathmini na kuimarisha umoja.  Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Makao Makuu na k...