Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kusini tarehe 15 Novemba 2025 lilishiriki kusimamia na kushuhudia Uteketezaji wa vielelezo mbalimbali vya Mahakama Kanda ya Kusini ambavyo ni madawa ya kulevya vyenye Kilogramu 73. Vielelezo hivyo viliteketezwa katika kiwanda cha Saruji cha Dangote Mkoani Mtwara
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
NEMC YAWALETA PAMOJA WATUMISHI WAKE KUJIPANGA KWA MWAKA 2026
Ni katika kufanya tathmini na kuimarisha umoja. Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Makao Makuu na k...
-
🟢 MAZINGIRA CHALLENGE 📍 Uko wapi Tanzania? 📸 Tuma Picha Bora ya Mazingira Ulipo! 🌍 Lengo la Kampeni: Kuibua uzalendo na uhamasishaji wa ...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeendesha mafunzo maalum ya kuwajengea uelewa kuhusu Tathmini ya Athari kwa ...
-
Msitu wa Kagunga uliopo kijiji cha Kagunga kata ya Kasekese wilaya ya Tanganyika mkoa wa Tatavi zimepigwa na Mawiti Ufukwe wa bahari ya ...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni