Nyumbani

NEMC YATAMBUA MCHANGO WA TFS KAMPENI YA UPANDAJI MITI NCHI NZIMA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetambua mchango wa TFS katika zoezi Zima la kampeni ya upandaji miti 40,000 nchi nzima kwa kumpatia zawadi Naibu Kamishna wa Uhifadhi (TFS) Salehe S. Beleko alipozuru Banda la NEMC viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Center ikiwa ni wiki ya Maonesho kuelekea kilele cha Maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yenye kaulimbiu isemayo Dira 2050- Tuwajibike kukijanisha Tanzania.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YATAMBUA MCHANGO WA TFS KAMPENI YA UPANDAJI MITI NCHI NZIMA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetambua mchango wa TFS katika zoezi Zima la kampeni ya upandaji miti 40,000 n...