Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetambua mchango wa TFS katika zoezi Zima la kampeni ya upandaji miti 40,000 nchi nzima kwa kumpatia zawadi Naibu Kamishna wa Uhifadhi (TFS) Salehe S. Beleko alipozuru Banda la NEMC viwanja vya Jakaya Kikwete Convention Center ikiwa ni wiki ya Maonesho kuelekea kilele cha Maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani yenye kaulimbiu isemayo Dira 2050- Tuwajibike kukijanisha Tanzania.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
NEMC YATAMBUA MCHANGO WA TFS KAMPENI YA UPANDAJI MITI NCHI NZIMA
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetambua mchango wa TFS katika zoezi Zima la kampeni ya upandaji miti 40,000 n...
-
Ni katika kufanya tathmini na kuimarisha umoja. Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Makao Makuu na k...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linashiriki Mkutano wa Saba (07) wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (07th Unit...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kusini tarehe 15 Novemba 2025 lilishiriki kusimamia na kushuhudia Uteke...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni