Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa mazingira (Online Continuous Emissions Monitoring System) ambao umelenga kurahisisha upatikanaji wa taarifa za uchafuzi.
Uzinduzi huo uliofanyika tarehe 29 Julai 2025 mjini Accra nchini Ghana umehudhuriwa na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza Dkt. Immaculate Sware Semesi pamoja na Bi. Jackline Nyantori, Afisa Sheria Mkuu.
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (katikati) akiwa na baadhi ya washiriki wa uzinduzi wa mfumo huo
Washiriki wa uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa Mazingira wakiwa katika Ukumbi ulipofanyika uzinduzi huo
Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (wa katikati) akiwa na baadhi ya washiriki wa uzinduzi wa Mfumo huo
Picha ya pamoja ya baadhi ya washiriki wa uzinduzi wa Mfumo huo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni