Nyumbani

NEMC YASHIRIKI UZINDUZI WA MFUMO WA KIDIGITALI WA KUFUTILIA UCHAFUZI WA MAZINGIRA ULIOFANYIKA MJINI ACCRA NCHINI GHANA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa mazingira (Online Continuous Emissions Monitoring System) ambao umelenga kurahisisha upatikanaji wa taarifa za uchafuzi.

Uzinduzi huo uliofanyika tarehe 29 Julai 2025 mjini Accra nchini Ghana umehudhuriwa na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza Dkt. Immaculate Sware Semesi pamoja na Bi. Jackline Nyantori, Afisa Sheria Mkuu.

Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (katikati) akiwa na baadhi ya washiriki wa uzinduzi wa mfumo huo


Washiriki wa uzinduzi wa mfumo wa kidigitali wa kufuatilia uchafuzi wa Mazingira wakiwa katika Ukumbi ulipofanyika uzinduzi huo

Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi (wa katikati) akiwa na baadhi ya washiriki wa uzinduzi wa Mfumo huo


Picha ya pamoja ya baadhi ya washiriki wa uzinduzi wa Mfumo huo 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

PROFESA MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA NEMC

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira)  Profesa Peter  Msofe  ameonekana kuridhishwa na utendaji kazi na uwajibikaji wa watum...