Nyumbani

NEMC INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANAFUNZI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA NANENANE JIJI MBEYA

Elimu ya Utunzaji wa Mazingira ikiendelea kutolewa kwa wananchi na wanafunzi wa Sekondari ya Lyoto waliotembelea Banda la NEMC lililopo katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA SABA WA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU MAZINGIRA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linashiriki Mkutano wa Saba (07) wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (07th Unit...