Nyumbani

NEMC INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANAFUNZI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA NANENANE JIJI MBEYA

Elimu ya Utunzaji wa Mazingira ikiendelea kutolewa kwa wananchi na wanafunzi wa Sekondari ya Lyoto waliotembelea Banda la NEMC lililopo katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YATAMBUA USHIRIKIANO KATI YAKE NA JESHI LA POLISI

Yashiriki mahafali ya kumi ya programu za vyuo vya polisi Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetambua mchango wa ...