Nyumbani

NEMC INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANAFUNZI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA NANENANE JIJI MBEYA

Elimu ya Utunzaji wa Mazingira ikiendelea kutolewa kwa wananchi na wanafunzi wa Sekondari ya Lyoto waliotembelea Banda la NEMC lililopo katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TAKA SI UCHAFU TENA, TAKA NI FURSA!

📌 Waziri Masauni aipongeza NEMC kwa kubadilisha mitazamo ya watu juu ya Taka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira...