Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Njombe Ndug. Christopher Aloyce Sanga wakwanza kulia akipatiwa Elimu ya Utunzaji Mazingira baada ya kutembelea Banda la NEMC katika Maonesho ya Nanenane 2025 yanayofanyika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya. Karibu banda la NEMC upate elimu ya Mazingira kwa kilimo endelevu na rafiki kwa Mazingira.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Njombe Ndug. Christopher Aloyce Sanga alipotembelea banda la NEMC katika maonesho ya wakulima, nanenane 2025 jijini Mbeya
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Songwe, Kidato cha Tano na cha Sita wametembelea Banda la NEMC katika maonesho ya Wakulima (Nanenane 2025) na kupatiwa elimu ya Utunzaji wa Mazingira ikiwa ni pamoja na elimu ya Utunzaji wa Mazingira inayoenda sambamba na Kilimo endelevu na rafiki kwa Mazingira, Kwa Jijini Mbeya maonesho ya Nanenane yanayofanyika Viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeya.Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Songwe wakiwa katika banda la NEMC ambapo wamepatiwa elimu ya Utunzaji wa Mazingira katika maonesho ya nanenane 2025 jijini Mbeya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni