Akifungua Kikao hicho, Februari 3, 2026, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Bw. Dickson Mjinja kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu Dkt. Immaculate Sware Semesi aliwashukuru washiriki wote kwa kujitoa na kufika kwa wingi ili kufanikisha dhumuni la Kikao hicho muhimu chenye tija katika Utekelezaji wa majukumu ya Baraza.
NEMC NA TAASISI ZA KISERIKALI NA ZISIZO ZA KISERIKALI WAFANYA MAPITIO YA MPANGO KAZI WA BARAZA
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na wadau kutoka taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali wameshirikiana kutoa maoni kwenye Mpango mkakati mpya (Strategic Plan) wa Mwaka 2026/2027-2030/2031 ikiwa ni hatua mojawapo ya kuhakikisha utendaji kazi wa Baraza wenye tija na manufaa kwa muktadha wa utunzaji wa Mazingira.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
NEMC YASHIRIKI KIKAMILIFU KONGAMANO LA ANWANI ZA MAKAZI NA MAONESHO YA TEKNOLOJIA ZA POSTA 2026
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu Kongamano la Mwaka la Anwani za Makazi na Maonesho ya Hud...
-
Ni katika kufanya tathmini na kuimarisha umoja. Watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Makao Makuu na k...
-
🟢 MAZINGIRA CHALLENGE 📍 Uko wapi Tanzania? 📸 Tuma Picha Bora ya Mazingira Ulipo! 🌍 Lengo la Kampeni: Kuibua uzalendo na uhamasishaji wa ...
-
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kusini tarehe 15 Novemba 2025 lilishiriki kusimamia na kushuhudia Uteke...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni