Nyumbani

NEMC KANDA YA MOROGORO/RUFIJI NA MORUWASA WAPANDA MITI 5,000

NEMC Kanda ya Morogoro/Rufiji imeshirika zoezi la kupanda miti 5,000 aina ya Mkongo ( Afzelia quanzensis) katika eneo la bwawa la Mindu, Kata ya Kauzeni Manispaa ya Morogoro. Zoezi lililoandaliwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Maji.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

DKT. FESTO DUGANGE AITIKISA KAGERA, AITAKA NEMC KUKAZA UZI USIMAMIZI WA SHERIA ZA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.Dkt. Festo Dugange, amelitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa M...