Nyumbani

NEMC KANDA YA MOROGORO/RUFIJI NA MORUWASA WAPANDA MITI 5,000

NEMC Kanda ya Morogoro/Rufiji imeshirika zoezi la kupanda miti 5,000 aina ya Mkongo ( Afzelia quanzensis) katika eneo la bwawa la Mindu, Kata ya Kauzeni Manispaa ya Morogoro. Zoezi lililoandaliwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Maji.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

MWENYEKITI WA BODI YA NEMC AZUNGUMZA NA WADAU WA MAZINGIRA, NEMC@40

Mwenyekiti wa Bodi ya NEMC, Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka Arobaini (40) ya Baraza la Taifa la Hifadhi n...