Nyumbani

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AHUTUBIA KONGAMANO LA KISAYANSI NEMC@40

 



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akihutubia wakati wa Kongamano la Kisayansi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa mazingira (NEMC) ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 40 ya NEMC.
























Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI-DODOMA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliy...