Nyumbani

WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA AKABIDHIWA TUZO YA HESHIMA NEMC@40

 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akikabidhiwa Tuzo mnaalum na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wake katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini.

 


Tuzo hiyo ilikabidhiwa wakati wa Kongamano la Kisayansi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 40 ya NEMC lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.

 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

MWENYEKITI WA BODI YA NEMC AZUNGUMZA NA WADAU WA MAZINGIRA, NEMC@40

Mwenyekiti wa Bodi ya NEMC, Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka Arobaini (40) ya Baraza la Taifa la Hifadhi n...