Nyumbani

NEMC YASHIRIKI WARSHA YA KUJADILI UREJESHWAJI IKOLOJIA YA MATUMBAWE

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki Warsha ya kujadili namna bora ya urejeshwaji wa mifumo ikolojia ya matumbawe iliyofanyika Zanzibar kuanzia tarehe 16-17 Septemba 2025. 

NEMC imewakilishwa na Meneja wa Tafiti za Mazingira (NEMC), Dkt. Rose Sallema Mtui, ambaye pia ni Mratibu wa Kikosi kazi cha Taifa cha kuhifadhi na kutunza matumbawe. 

Kikao hicho kimeratibiwa na shirika la Uhifadhi Mazingira la “The Nature Conservancy”

Meneja wa Tafiti za Mazingira (NEMC) Dkt. Rose Sallema akiwasilisha mada katika Warsha hiyo

Baadhi ya washiriki wa Warsha hiyo wakifuatilia mada zilizowasilishwa katika Warsha hiyo




Baadhi ya wawasilishaji wakiwasilisha mada katika Warsha hiyo


Washiriki wa Warsha ya kujadili namna bora ya urejeshwaji wa mifumo ikolojia ya matumbawe wakiwa katika picha ya pamoja, Warsha hiyo imefanyika Zanzibar kuanzia tarehe 16-17 Septemba 2025. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA SABA WA UMOJA WA MATAIFA KUHUSU MAZINGIRA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linashiriki Mkutano wa Saba (07) wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (07th Unit...