Nyumbani

NEMC NA IUCN WAJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA UCHAFUZI WA PLASTIKI UKANDA WA BAHARI

Meneja wa Tafiti za Mazingira (NEMC) Dkt. Rose Sallema akizungumza wakati wa kikao kazi hicho

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (IUCN) limefanya kikao kazi kujadili namna bora ya kukabiliana na tatizo la uchafuzi unaotokana na taka za plastiki katika ukanda wa bahari. Kikao hicho kimekusudia kuweka mikakati endelevu ya kudhibiti matumizi na utupaji holela wa plastiki, pamoja na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira ya baharini kwa manufaa ya viumbe vya majini na ustawi wa binadamu kwa ujumla.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

DKT. FESTO DUGANGE AITIKISA KAGERA, AITAKA NEMC KUKAZA UZI USIMAMIZI WA SHERIA ZA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.Dkt. Festo Dugange, amelitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa M...