Nyumbani

NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WILAYA YA KINONDONI KATIKA VIWANJA VYA NYAKASANGWE

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika mkutano wa kusikiliza kero na malalamiko ya wananchi wa Wilaya ya Kinondoni, uliofanyika katika viwanja vya Nyakasangwe.

Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Albert Chalamila, pamoja na Mkuu wa wilaya  na viongozi wa Tasisi za Umma na wananchi wa Manispaa ya kinondoni






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA UHIFADHI NA USIMAMIZI WA MAZINGIRA BAINA YA TANZANIA NA ZANZIBAR

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limeshiriki mkutano wa siku mbili ulioandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais wenye le...