Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Masauni akipanda mti katika eneo litakapokuwa lango kuu la Jengo la Kituo cha kutoa elimu kuhusu Athari za matumizi ya Zebaki (Mercury) katika uchenjuaji Madini ya Dhahabu katika afya na Mazingira linalosimamiwa na NEMC chini ya ufadhili wa Global Environmental Facility (GEF) lililojengwa mkabala na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita ikiwa ni jitaha za kuunga mkono azma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania za kukijanisha Tanzanaia.
Mhe. Waziri amepanda mti huo wakati wa ziara yake alipotembelea Jengo hilo.
Kadhalika katika kuunga mkono jitihada hizo Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Richard Muyungi pia alipanda mti katika eneo hilo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni