Nyumbani

MATUKIO KATIKA PICHA, WAZIRI MASAUNI (OFISI YA MAKAMU WA RAIS-MUUNGANO NA MAZINGIRA APANDA MTI KATIKA KITUO CHA ELIMU YA ZEBAKI CHA NEMC-GEITA

Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Masauni akipanda mti katika eneo litakapokuwa lango kuu la Jengo la Kituo cha kutoa elimu kuhusu Athari za matumizi ya Zebaki (Mercury) katika uchenjuaji Madini ya Dhahabu katika afya na Mazingira linalosimamiwa na NEMC chini ya ufadhili wa Global Environmental Facility (GEF) lililojengwa mkabala na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita ikiwa ni jitaha za kuunga mkono  azma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania za kukijanisha Tanzanaia.

Mhe. Waziri amepanda mti huo wakati wa ziara yake alipotembelea Jengo hilo.

Kadhalika katika kuunga mkono jitihada hizo Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Richard Muyungi pia alipanda mti katika eneo hilo







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TIMU YA UKAGUZI WA MAZINGIRA KUTOKA NEMC MAKAO MAKUU NA KANDA YA ZIWA VICTORIA MASHARIKI WAADHIMISHA MEIMOSI 2026 KWA KUPANDA MITI MAKUMBUSHO YA MWL. JULIUS K. NYERERE, BUTIAMA

Timu ya watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wanaofanya ukaguzi wa mazingira katika mikoa ya Kanda ya Zi...