Nyumbani

MATUKIO KATIKA PICHA, UKAGUZI WA MGODI WA DHAHABU WA GEITA GOLD MINES (GGM) KATIKA ZIARA YA MHESHIMIWA WAZIRI, MHANDISI HAMAD YUSUF MASAUNI MKOANI GEITA

Pichani ni ziara ya Mheshimiwa Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni (wa kwanza kushoto) akikagua hali ya Mazingira katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mines Mkoani Geita ambapo aliambatana na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi na baadhi ya watumishi wa NEMC, pamoja na Viongozi wengine kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Machi 14, 2026










Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TIMU YA UKAGUZI WA MAZINGIRA KUTOKA NEMC MAKAO MAKUU NA KANDA YA ZIWA VICTORIA MASHARIKI WAADHIMISHA MEIMOSI 2026 KWA KUPANDA MITI MAKUMBUSHO YA MWL. JULIUS K. NYERERE, BUTIAMA

Timu ya watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wanaofanya ukaguzi wa mazingira katika mikoa ya Kanda ya Zi...