Nyumbani

MATUKIO KATIKA PICHA, UKAGUZI WA MGODI WA DHAHABU WA GEITA GOLD MINES (GGM) KATIKA ZIARA YA MHESHIMIWA WAZIRI, MHANDISI HAMAD YUSUF MASAUNI MKOANI GEITA

Pichani ni ziara ya Mheshimiwa Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni (wa kwanza kushoto) akikagua hali ya Mazingira katika Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mines Mkoani Geita ambapo aliambatana na Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Immaculate Sware Semesi na baadhi ya watumishi wa NEMC, pamoja na Viongozi wengine kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Machi 14, 2026










Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

MKUTANO WA 48 WA KAMATI YA URITHI WA DUNIA WA UNESCO WAHITIMISHWA RASMI BUSAN, JAMHURI YA KOREA

Tarehe 29 Julai 2026, ulihitimishwa rasmi Mkutano wa 48 wa Kamati ya Urithi wa Dunia wa UNESCO (48th Session of the World Heritage Committee...