Nyumbani

NEMC KANDA YA KASKAZINI YAKAGUA KIWANDA CHA SARUJI CHA MOSHI CEMENT

NEMC Kanda ya Kaskazini yafanya ukaguzi kiwanda cha kutengeneza Saruji cha Moshi Cement kinachoendeshwa na Kampuni ya JUN YU INVESTMENT INTERNATIONAL CO. LTD kilichopo katika Mkoa wa Kilimanjaro karibu na mpaka wa Horiri. 

Timu ya ukaguzi ilibaini kuwa Kiwanda hicho kina cheti cha TAM, pia kina teknolojia madhubuti ya kudhibiti vumbi na kiwanda chote kimesakafiwa (paved). Hata hivyo kulikuwa na changamoto chache hasa namna ya  udhibiti wa chuma chakavu na usimamizi usiofaa wa madumu yaliyomaliza kemikali. 

Timu ya wataalam ilitoa maelekezo stahiki na muda wa utekelezaji ili kukabiliana na changamoto zilizoibuliwa wakati wa ukaguzi.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

DKT. FESTO DUGANGE AITIKISA KAGERA, AITAKA NEMC KUKAZA UZI USIMAMIZI WA SHERIA ZA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.Dkt. Festo Dugange, amelitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa M...