Nyumbani

NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA NANE WA AFRIMAB NCHINI ZAMBIA

NEMC yashiriki Makutano wa nane wa AfriMab (8th AfriMAB General Assembly) uliofanyika jijini Livingstone, Zambia kuanzia tarehe 9 hadi 13 Machi 2026. Madhumuni ya mkutano huo ni kuendeleza usimamizi endelevu wa hifadhi za bayosfia barani Afrika chini ya kaulimbiu “Kutumia rasilimali za asili za Afrika kupitia teknolojia rafiki kwa mifumo ya ikolojia.” NEMC imewakilishwa na Bi. Marlene Moshi, Afisa Mkuu Mazingira







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

TIMU YA UKAGUZI WA MAZINGIRA KUTOKA NEMC MAKAO MAKUU NA KANDA YA ZIWA VICTORIA MASHARIKI WAADHIMISHA MEIMOSI 2026 KWA KUPANDA MITI MAKUMBUSHO YA MWL. JULIUS K. NYERERE, BUTIAMA

Timu ya watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wanaofanya ukaguzi wa mazingira katika mikoa ya Kanda ya Zi...