Nyumbani

NEMC YASHIRIKI MKUTANO WA NANE WA AFRIMAB NCHINI ZAMBIA

NEMC yashiriki Makutano wa nane wa AfriMab (8th AfriMAB General Assembly) uliofanyika jijini Livingstone, Zambia kuanzia tarehe 9 hadi 13 Machi 2026. Madhumuni ya mkutano huo ni kuendeleza usimamizi endelevu wa hifadhi za bayosfia barani Afrika chini ya kaulimbiu “Kutumia rasilimali za asili za Afrika kupitia teknolojia rafiki kwa mifumo ya ikolojia.” NEMC imewakilishwa na Bi. Marlene Moshi, Afisa Mkuu Mazingira







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

DKT. FESTO DUGANGE AITIKISA KAGERA, AITAKA NEMC KUKAZA UZI USIMAMIZI WA SHERIA ZA MAZINGIRA KWENYE MIRADI

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe.Dkt. Festo Dugange, amelitaka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa M...