Nyumbani

𝗨𝗦𝗜𝗠𝗔𝗠𝗜𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗜𝗡𝗚𝗜𝗥𝗔 𝗨𝗘𝗡𝗗𝗘 𝗦𝗔𝗠𝗕𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗞𝗨𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗪𝗘𝗞𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗡𝗪-𝗠𝗔𝗝𝗜, 𝗠𝗛𝗔𝗡𝗗𝗜𝗦𝗜 𝗞𝗨𝗡𝗗𝗢 𝗠𝗔𝗧𝗛𝗘𝗪

Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Andrew Mathew amesisitiza umuhimu wa NEMC kuharakisha mifumo ya mawasiliano na tehama katika kuratibu shughuli za Tathmini ya Athari kwa Mazingira na Jamii (TAM) na TISEZA kwenye upangaji wa maeneo ya uwekezaji na kuwataka kuwa na mpango kazi ulio wazi (clear roadmap) utakaoruhusu Tathmini za Athari kwa Mazingira na Jamii (TAM) kufanyika kwa haraka na ufanisi mkubwa, hatua itakayosaidia kuondoa urasimu na kuchochea kasi ya wawekezaji kuleta mitaji yao nchini.

Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Andrea Mathew, ameipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa ubunifu na mikakati thabiti wakati alipotembelea banda lao katika Maonesho ya Kuelekea Siku ya Mazingira Duniani.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YASHIRIKI KIKAO CHA 48 CHA KAMATI YA URITHI WA DUNIA YA UNESCO - BUSAN KOREA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kupitia Mkurugenzi Mkuu wake, Dkt. Immaculate Semesi, linashiriki katika Kikao ...