Nyumbani

WAZIRI MASAUNI AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO WIKI YA KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni azuru Banda la NEMC wiki ya Maonesho ya kuelekea Siku ya Mazingira Duniani  yanayofanyika viwanja vya  Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma. Maonesho hayo yalifunguliwa rasmi tarehe 1 Juni 2026 ambapo kilele cha Maadhimisho hayo ni tarehe 5 Juni 2026 huku yakibeba Kaulimbiu "Dira 2050 - Tuwajibike Kukijanisha Tanzania"




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

𝗡𝗘𝗠𝗖 𝗬𝗔𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗚𝗥𝗘𝗘𝗡 𝗦𝗨𝗠𝗠𝗜𝗧 𝟮𝟬𝟮𝟲

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limekutana na ujumbe wa waandaaji wa Tanzania Green Summit (TGS), inayotarajiwa ...