Nyumbani

WAZIRI MASAUNI AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO WIKI YA KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni azuru Banda la NEMC wiki ya Maonesho ya kuelekea Siku ya Mazingira Duniani  yanayofanyika viwanja vya  Jakaya Kikwete Convention Centre jijini Dodoma. Maonesho hayo yalifunguliwa rasmi tarehe 1 Juni 2026 ambapo kilele cha Maadhimisho hayo ni tarehe 5 Juni 2026 huku yakibeba Kaulimbiu "Dira 2050 - Tuwajibike Kukijanisha Tanzania"




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NEMC YASHIRIKI KIKAO CHA 48 CHA KAMATI YA URITHI WA DUNIA YA UNESCO - BUSAN KOREA

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kupitia Mkurugenzi Mkuu wake, Dkt. Immaculate Semesi, linashiriki katika Kikao ...